KARDINALI PENGO AENDA KUTIBIWA MAREKANI

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesafiri kwenda Marekani siku ya Jumanne tarehe 2 Mei 2017 kwa ajili ya uchunguzi zaidi wa afya yake pamoja na matibabu.
Kardinali Pengo anatarajiwa kuwepo huko nchini Marekani kwa kipindi cha mwezi mmoja kwa ajili ya uchunguzi na matibabu yake..

Tuendelee kumuombea Baba Kardinali ili Mwenyezi Mungu amjalie nguvu na afya njema ya mwili na roho ili aweze kuliongoza vema Taifa la Mungu alilokabidhiwa.

Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0753 336 000

Masengwa blog Ipo Play Store…Download HAPA ,Uwe unapata habari zote kwa urahisi zaidi
 Bofya Hapa

No comments:

Powered by Blogger.