SHINYANGA KUFANYA MSAKO WA FISI

SHINYANGA KUFANYA MSAKO WA FISI



Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani Shinyanga katika wilaya ya Kahama, imeziruhusu halmashauri za Msalala na Ushetu kuanza kuteketeza wanyama wakali aina ya fisi, wanaotishia usalama wa wananchi


Taarifa hiyo ilitolewa kwa vyombo vya habari hivi karibuni na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Msalala, Simon Berege akisema kuwa wameanzisha operation maalumu ya kutokemeza fisi hao kwa kuwaua kwa kutumia sumua na bunduki.



“Fisi hao wakiingia katika vijiji huwatishia maisha wanawake pamoja na watoto ila kwa upande wa wanaume, fisi wamekuwa wakiwaogopa” alisema Berege



Hadi sasa fisi wapatao 14 wameuwawa, kutoka Kijiji cha Kakola waliuawa fisi saba, Kata ya Ngaya fisi sita na Kata ya Chela aliuawa fisi mmoja

Wasiliana Nasi Simu/WhatsApp 0753 336 000

Masengwa blog Ipo Play Store…Download HAPA ,Uwe unapata habari zote kwa urahisi zaidi
 Bofya Hapa

No comments:

Powered by Blogger.